Thursday, September 27, 2012

Stephanie Okereke's Wedding Adorns Canadian Fashion & Style Magazine Cover

 The 'fairy tale' wedding of Stephanie Okereke held in April 2012 in Paris, France has been featured in popular fashion and style Canadian magazine 'Next Big Thing'.

In the Fall 2012 issue of the magazine, Stephanie was described as 'veteran Nigerian actress'. She adorned the front page of the magazine in her wedding gown.

According to the magazine, Stephanie Okereke's wedding to Linus Idahosa was described as the biggest wedding in
2012.

BEST WEDDING PROPOSAL-VIDEO


Monday, September 10, 2012

VIPODOZI VIKALI NI HATARI,TUMIA NJIA ZA ASILI

 Badala ya kutumia vipodozi vikali ambavyo wakati mwimgine huweza kusababisha maradhi kama saratani, ni vyema ukatumia vipodozi asilia ambavyo ni rafiki wa ngozi yako.
Hata hivyo aina yoyote ya ngozi ni nzuri hali mradi isiwe na harara, upele au mabaka. Watu weusi na weupe wasipozifanyia ngozi zao matunzo ni lazima ziharibike na zipoteze mvuto.
Katika makala hii, utapata kujua namna ya kuifanya ngozi yako iwe na weupe wa kipekee kwa kutumia  vitu vya asili ambavyo hupatikana jikoni kwako, tena kwa urahisi.
Haya hapa ni mambo ambayo unaweza kuyafanya ili kuing’arisha ngozi yako hajalishi uwe na ngozi nyeusi au nyeupe.
Siri ya limao.
Limao linaweza kuufanya uso wako ukapata weupe wa  kipekee na kwa wale wenye ngozi nyeusi wakawa waang;avu.
Kata limao nusu. Ile nusu nayo ikate nusu, hivyo utapata robo. Sugua limao katika uso wako na uruhusu juisi yake iingie katika ngozi yako.  Baada ya zoezi hilo acha juisi hiyo ibaki usoni kwa dakika 15. Osha uso wako kwa maji ya moto. Fanya hivyo angalau mara mbili kwa wiki, na utaona mabadiliko.


Siri ya asali na maziwa ya unga
Chukua kikombe, weka maziwa ya unga kijiko kimoja, asali kijiko kimoja na juisi ya limao nusu kijiko. Changanya kasha paka usoni na usugue taratibu. Acha ikae usoni kwa dakika 15 na kasha osha taratibu kwa maji ya vuguvugu. Utayaona matokeo baada ya muda mfupi.
 Siri ya nyanya na unga wa mahindi
Chukua nyanya moja, isage kasha changanya na unga wa mahindi. Jaribu kuufanya mchanganyiko wako mwepesi ili upakike na ukae usoni. Sugua uso wako kwa mchanganyiko huo na uache ukae usoni kwa dakika 20
.
Mchanganyiko wa matunda
Chukua tango, nanasi na papai bichi, visage. Mchangayiko laini utakaopatikana hapo ndiyo  dawa yako. Usugue uso wako taratibu kutoka chini yaani kidevuni kwenda juu. Uache ukae usoni kwa dakika 20 kisha osha kwa maji ya baridi.

Tuesday, September 4, 2012

Inspiration: What God and Satan do

When Satan says, "You are not worthy. "Jesus says, "So what? I AM."
When Satan looks back and sees your mistakes, God looks back and sees the
cross.
God doesn't calculate what you did in the past years. It is not even in His records any more...

Note:

There is someone here today, you have a big dream but due to circumstances it has not been achieved, the Lord is saying to you, when the time of favour is come, you will achieve your dream and be favoured. Christ has nailed all your sins and inequities on the cross and, therefore, you are free forever as long as you continue to live under his very eyes.